Saturday, July 7, 2012

WEMA vs WOLPER HAKUNA MBABE



kabla ya mpambano kuanza wema anapiga dua kidogo ili mambo yamuendee sawa maana akimcheki wolper ni nomaaaa!!!

kabla ya pambano kuanza'

hii ngumi ikikupata tuu lazima uka!!!!eeeee

 
WEMA SEPETU VS JACK WOLPER
 Wema akipata mawaidha kutoka kwa mwalimu wake Rashid Matumla.
Waigizaji mahiri wa filamu nchini, Wema Sepetu na Jacqueline Wolper wametoka suruhu katika mpambano wao wa raundi 2 uliofanyika karika uwanja wa TAIFA  LEO USIKU WA MATUMAINA  
ila kwamujibu wa watazamaji wengi wanadai kuwa kati ya wema na wolper hakuan mbabe

No comments:

Post a Comment