Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimfariji mmoja wa walionusurika katika
ajali ya meli jana huko Chumbwe wakati Rais na Mama Salma Kikwete
walipowatembelea kuwafariji na kuwapa pole katika hospitali kuu ya Mnazi
Mmoja jana Julai 19, 2012.…
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete wakitembelea Uwanja wa Maisara, Zanzibar, ambako ndiko miili ya marehemu huletwa kwa utambuzi baada ya kuokolewa kwenye eneo la ajali jana Julai 19, 2012.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete wakitembelea Uwanja wa Maisara, Zanzibar, ambako ndiko miili ya marehemu huletwa kwa utambuzi baada ya kuokolewa kwenye eneo la ajali jana Julai 19, 2012.


No comments:
Post a Comment